// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); HAYE ATAKA KUZIPIGA KAVU KAVU NA BELLEW - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE HAYE ATAKA KUZIPIGA KAVU KAVU NA BELLEW - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Wednesday, November 30, 2016

        HAYE ATAKA KUZIPIGA KAVU KAVU NA BELLEW

        David Haye (kushoto) akimrushia ngumi mpinzani wake, Tony Bellew baada ya kushindwa kuvumilia 'maneno ya shombo' aliyokuwa anatupiwa wakati wa kutambulisha pambano lao lisilo la ubingwa uzito wa Heavy leo litakalofanyika Machi 4 mwakani ukumbi wa O2 Arena, London. Ngumi hiyo haikumpata Bellew na mara moja wawili hao walitenganishwa na kubaki kupigana kwa maneno hadi wanaondoka eneo la tukio PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: HAYE ATAKA KUZIPIGA KAVU KAVU NA BELLEW Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry