Mshambuliaji wa Yanga, Said Mwamba 'Kizota' (marehemu) akiinua mikono kufurahia bao lililofungwa na mchezaji mwenzake, Edibily Lunyamila katika fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mwaka 1993 Uwanja wa Nakivubo, Kampala, Uganda dhidi ya wenyeji SC Villa. Yanga ilishinda 2-1 na kutwaa Kombe hilo, bao lingine likifungwa na Kizota mwenyewe, ambalo lilikuwa la kwanza na la kusawazisha siku hiyo baada ya Villa kutangulia
Premier League LIVE: Brighton vs West Ham and Ipswich Town vs Newcastle
headline 3pm games as Eddie Howe's men chase down Champions League spot
-
Follow Mail Sport's 3pm Premier League action for the latest updates
from Brighton vs West Ham, Ipswich Town vs Newcastle, Wolves vs Leicester
City and Sou...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment