Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la pili katika ushindi wa 4-1 ugenini dhidi ya Alaves Uwanja wa Mendizorroza, Vitoria-Gasteiz kwenye La Liga. Ronaldo alifunga mabao matatu, moja kwa penalti na pia akakosa penalti moja wakati bao lingine la Real lilifungwa na Alvaro Morata na la Alaves lilifungwa na Acosta Deyverson PICHA ZAIDI GONGA HAPA
PAFON to enhance AI-driven payment experience
-
By Chinenye Anuforo Payments Forum Nigeria (PAFON) 2.0 is poised to convene
Nigeria’s leading minds in digital finance, policymakers and tech
innovators ...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment