Cristiano Ronaldo wa Real Madrid akimtoka Aymeric Laporte wa Athletic Bilbao katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumapili Uwanja wa Santiago Bernabeu. Real ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Karim Benzema na Alvaro Morata, wakati la Bilbao lilifungwa na Sabin Merino PICHA ZAIDI GONGA HAPA
HEIR Study: 94% of Nigerian workers report sexual harassment crisis, seek
policy reform
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja A recent virtual validation meeting
convened by HEIR Women Hub (HWH) exposed critical gaps in Nigeria’s fight
against ...
4 minutes ago
0 comments:
Post a Comment