Kiungo Mfaransa, Paul Pogba akiteleza uwanjani kushangilia baada ya kufunga mabao mawili Manchester United, moja kwa penalti katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Fenerbahce ya Uturuki kwenye mchezo wa Kundi A Europa League usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya Man United yalifungwa na Anthony Martial kwa penalti na Jesse Lingard, wakati la wageni lilifungwa na nyota wa zamani wa Mashetani hao Wekundu, Robin van Persie PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2026 WCQ: Super Eagles Kigali camp brace up with 12 players
-
By Seyi Babalola Six additional players have arrived at the Super Eagles’
Radisson Blu Hotel camp in Kigali ahead of the 2026 FIFA World Cup
qualifier ag...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment