• HABARI MPYA

        Wednesday, October 26, 2016

        OXLADE-CHAMBERLAIN APIGA ZOTE MBILI, ARSENAL YAUA 2-0

        Alex Oxlade-Chamberlain akimtungua kipa wa Reading, Ali Al-Habsi kufungia bao la kwanza kati ya yote mawili aliyoifungia Arsenal katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa 16 Bora Kombe la Ligi England usiku huu Uwanja wa Emirates, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: OXLADE-CHAMBERLAIN APIGA ZOTE MBILI, ARSENAL YAUA 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry