Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akishangilia kwa hisia kali mbele ya mashabiki wa Valencia baada ya kufunga bao la tatu kwa penalti ya sekunde ya mwisho katika ushindi wa 3-2 dhidi ya wenyeji wao hao Uwanja wa Mestalla. Messi ndiye aliyefunga bao la kwanza, ingawa Luis Suarez alionekana kuwa amezidi na bao lingine la Barca lilifungwa na Suarez huku ya Valencia yakifungwa na Munir na Rodrigo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aussie teenage sprint sensation Gout Gout clocks world-leading 200m time in
stunning run
-
Aussie teenage sprint sensation Gout Gout has stunned fans in Brisbane by
clocking the quickest 200m time in the world this year.
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment