Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akishangilia kwa hisia kali mbele ya mashabiki wa Valencia baada ya kufunga bao la tatu kwa penalti ya sekunde ya mwisho katika ushindi wa 3-2 dhidi ya wenyeji wao hao Uwanja wa Mestalla. Messi ndiye aliyefunga bao la kwanza, ingawa Luis Suarez alionekana kuwa amezidi na bao lingine la Barca lilifungwa na Suarez huku ya Valencia yakifungwa na Munir na Rodrigo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man who was viciously assaulted by Noah Balta breaks silence after Richmond
star learns his fate
-
Thomas Washbrook was left bloodied, bruised and needing hospital treatment
after he was repeatedly punched by the 25-year-old Tigers defender.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment