Roberto Firmino (kulia) akishangilia na Philippe Coutinho na Sadio Mane baada ya kuifungia Liverpool bao la nne katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Selhurst Park, London. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Emre Can, Dejan Lovren na Joel Matip wakati ya Palace yalifungwa na James McArthur yote PICHA AZAIDI GONGA HAPA
Aussie teenage sprint sensation Gout Gout clocks world-leading 200m time in
stunning run
-
Aussie teenage sprint sensation Gout Gout has stunned fans in Brisbane by
clocking the quickest 200m time in the world this year.
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment