Roberto Firmino (kulia) akishangilia na Philippe Coutinho na Sadio Mane baada ya kuifungia Liverpool bao la nne katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Selhurst Park, London. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Emre Can, Dejan Lovren na Joel Matip wakati ya Palace yalifungwa na James McArthur yote PICHA AZAIDI GONGA HAPA
Abia police kill 6 kidnappers, free 4 victims
-
From Okey Sampson, Umuahia Police in Abia said they have killed six
kidnappers who have been terrorising the Obingwa axis of Aba and rescued
four kidnapp...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment