Roberto Firmino (kulia) akishangilia na Philippe Coutinho na Sadio Mane baada ya kuifungia Liverpool bao la nne katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Selhurst Park, London. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Emre Can, Dejan Lovren na Joel Matip wakati ya Palace yalifungwa na James McArthur yote PICHA AZAIDI GONGA HAPA
Humiliating NFL Draft moment as Shedeur Sanders' dreams are crushed by
brutal prank call
-
Quarterback Shedeur Sanders' NFL Draft nightmare took a cruel twist Friday
when his hopes were momentarily lifted, only to be immediately crushed by a
fans...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment