Daniel Sturridge akishangilia kwa staili yake maarufu baada ya kufunga mabao yote ya Liverpool katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa 16 Bora ya Kombe la Ligi England usiku huu Uwanja wa Anfield. Bao la Spurs lilifungwa na Vincent Janssen kwa penalti zikiwa zimebaki dakika 14 baada ya Erik Lamela kuangushwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Diogo Dalot responds to Sir Jim Ratcliffe's claim five Man United stars are
either 'not good enough or overpaid'
-
Dalot insists Manchester United are finally showing progress under Ruben
Amorim, ahead of Sunday's Premier League clash against Leicester City.
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment