Daniel Sturridge akishangilia kwa staili yake maarufu baada ya kufunga mabao yote ya Liverpool katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa 16 Bora ya Kombe la Ligi England usiku huu Uwanja wa Anfield. Bao la Spurs lilifungwa na Vincent Janssen kwa penalti zikiwa zimebaki dakika 14 baada ya Erik Lamela kuangushwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tinubu reaffirms commitment to workers’ welfare at TUC quadrennial
conference
-
From Adanna Nnamani, Abuja President Bola Ahmed Tinubu has reaffirmed his
administration’s commitment to improving the welfare of Nigerian workers
and en...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment