Kikosi kilichorejesha heshima Simba SC mwaka 1991 baada ya timu kuyumba mwishoni mwa miaka ya 1980 kiasi cha kukaribia kushuka Daraja. Kikosi hiki kilitwaa ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati 1991 Dar es Salaam na huo ukawa mwanzo wa kupata Simba imara iliyotamba mwanzoni mwa miaka ya 1990 ikiwa ni pamoja na kufika fainali ya Kombe la CAF 1993 na kutwaa mataji mfululizo ya Afrika Mashariki na Kati.
Awkward moment Max Verstappen addresses George Russell feud after Formula
One star labelled champion a 'bully' following X-rated bust-up last season
-
The reigning Formula One world champion and British Mercedes driver have
been at loggerheads for some time and it appears they're no closer to
making up.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment