Meneja wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Azim Dewji akiwa na kiungo wa Yanga, Athumani Abdallah China mwaka 1992 Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Dar es Salaam (DIA), sasa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), kabla ya safari ya timu hiyo. Dewji pia alikuwa mfadhili wa Simba SC, timu ambayo China alijiunga nayo baadaye mwaka 1994.
'Unlucky' Forest hit woodwork three times in second half
-
"Unlucky" Nottingham Forest hit the woodwork three times in the second half
of their FA Cup semi final against Manchester City.
3 minutes ago
0 comments:
Post a Comment