• HABARI MPYA

        Saturday, October 22, 2016

        ARSENAL YANG'ANG'ANIWA EMIRATES, SARE 0-0 NA BORO

        Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez akisikitika kwa hasira baada ya kupoteza nafasi ya kufunga katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo wakilazimishwa sare ya 0-0 na Middlesbrough Uwanja wa Emirates, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: ARSENAL YANG'ANG'ANIWA EMIRATES, SARE 0-0 NA BORO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry