Mshambuliaji wa Leicester City, Ahmed Musa akigalagazana na kipa wa Tottenham Hotspur, Hugo Lloris kuifungia bao la kusawazisha timu yake katika sare ya 1-1 kwenye mchezo huo wa Ligi Kuu ya England. Bao la Spurs lilifungwa na Vincent Janssen kwa penalti baada ya yeye mwenyewe kuangushwa na Robert Huth PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aussie teenage sprint sensation Gout Gout clocks world-leading 200m time in
stunning run
-
Aussie teenage sprint sensation Gout Gout has stunned fans in Brisbane by
clocking the quickest 200m time in the world this year.
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment