Sergio Aguero akiteleza kibabe kushangilia bao lake 149 kwenye mashindano yote Manchester City jioni ya leo katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji West Bromwich Albion Uwanja wa The Hawthorns kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Aguero alifunga mawili na mawili mengine yakifungwa na Ilkay Gundogan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aussie teenage sprint sensation Gout Gout clocks world-leading 200m time in
stunning run
-
Aussie teenage sprint sensation Gout Gout has stunned fans in Brisbane by
clocking the quickest 200m time in the world this year.
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment