Sergio Aguero akiteleza kibabe kushangilia bao lake 149 kwenye mashindano yote Manchester City jioni ya leo katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji West Bromwich Albion Uwanja wa The Hawthorns kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Aguero alifunga mawili na mawili mengine yakifungwa na Ilkay Gundogan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mohamed Salah insists this league title is '100 per cent better' than their
triumph under Jurgen Klopp - as Liverpool star credits 'tough' Arne Slot
for their success this season
-
Mohamed Salah says Liverpool's Premier League title triumph feels more
special than the won the Reds won under Jurgen Klopp in 2020.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment