Sergio Aguero akiteleza kibabe kushangilia bao lake 149 kwenye mashindano yote Manchester City jioni ya leo katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji West Bromwich Albion Uwanja wa The Hawthorns kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Aguero alifunga mawili na mawili mengine yakifungwa na Ilkay Gundogan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
PLAY TEAMSHEET: Can YOU name the Arsenal team that were beaten 3-0 at home
by Chelsea back in 2009? Or pick YOUR team and guess their starting XI
-
Every day we'll challenge you to name a different starting XI from the
Premier League era. We'll give you a team's rough formation, and the number
of lette...
58 minutes ago
0 comments:
Post a Comment