Gonzalo Higuain akishangilia baada ya kuifungia Juventus dakika ya 31 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Dinamo Zagreb Uwanja wa Maksimir mjini Zagreb usiku huu katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Juve yamefungwa na Miralem Pjanic dakika ya 24, Paulo Dybala dakika ya 57 na Daniel Alves dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Legendary undefeated boxing star Terence Crawford makes stunning RETIREMENT
decision: 'Nothing else left to prove'
-
The American, a five-weight world champion, won all 42 fights of his
professional fights and cemented his place among the greats of his
generation with vi...
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment