Moussa Dembele (kulia) akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Celtic katika sare ya 3-3 na Manchester City katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ukaya usiku huu mjini Glasgow, Scotland. Bao lingine la Celtic limefungwa Raheem Sterling aliyejifunga wakati wa kuokoa na ya City yamefungwa na Fernandinho, Sterling na Nolito PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment