Mfungaji wa bao pekee la West ham United katika ushindi wa 1-0 dhidi ya AFC Bournemouth, Michail Antonio (kulia) akiwania mpira dhidi ya Adam Smith (kushoto) ana Andrew Surman (katikati) katika mchezo wa kwanza wa timu yake kwenye Uwanja wao mpya, Uwanja wa Olimpiki, London. Antonio alifunga dakika ya 85 katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Euphoria' as Arsenal reach first European final in 18 years
-
Arsenal reach the final of the Champions League for the first time in 18
years but face their toughest test yet against Barcelona.
57 minutes ago
0 comments:
Post a Comment