Mshambuliaji Janie Vardy akikimbia na mpira kushangilia baada ya kuwafungia mabingwa watetezi, Leicester City katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Bao lingine la Leicester lilifungwa na Wes Morgan huku Riyad Mahrez akikosa penalti baada ya Shinji Okazaki kuchezewa faulo na beki Jordi Amat na bao la Swansea lilifungwa na Leroy Fer PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fans spot awkward detail from Chris Eubank Sr's interview after Eubank Jr's
epic win over Conor Benn
-
Fans watching Saturday's clash between Chris Eubank Jr and Conor Benn
spotted an awkward moment during the post-fight television coverage. Eubank
Jr beat B...
57 minutes ago
0 comments:
Post a Comment