Mshambuliaji Janie Vardy akikimbia na mpira kushangilia baada ya kuwafungia mabingwa watetezi, Leicester City katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Bao lingine la Leicester lilifungwa na Wes Morgan huku Riyad Mahrez akikosa penalti baada ya Shinji Okazaki kuchezewa faulo na beki Jordi Amat na bao la Swansea lilifungwa na Leroy Fer PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kylian Mbappe tears into Rodri winning the 2024 Ballon d'Or as the French
captain speaks for the first time since Real Madrid boycotted the award
after Vinicius Jr lost out
-
The Ballon d'Or is given to the best player over the calendar year, as
voted for by journalists and publications from around the world, with
Lionel Messi w...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment