Washiriki wa shindano la Miss High Learning Institution 2016 wakiwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo kushuhudia mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom ya Tanzania Bara kati ya wenyeji, Yanga SC na African Lyon. Yanga ilishinda 3-0 na shindano hilo litafanyika Septemba 3, 2016 ukumbi wa TCC Club, Chang'ombe, Dar es Salaam likisindikizwa na burudani ya Rapa Ney wa Mitego, Msaga Sumu na QS Internation Band.
Man Utd plans Hojlund, Lookman swap deal Lookman
-
Rasmus Hojlund could be set for a stunning return to Atalanta as Manchester
United considers offering the forward in a swap deal for Ademola Lookman.
Hoj...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment