Washiriki wa shindano la Miss High Learning Institution 2016 wakiwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo kushuhudia mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom ya Tanzania Bara kati ya wenyeji, Yanga SC na African Lyon. Yanga ilishinda 3-0 na shindano hilo litafanyika Septemba 3, 2016 ukumbi wa TCC Club, Chang'ombe, Dar es Salaam likisindikizwa na burudani ya Rapa Ney wa Mitego, Msaga Sumu na QS Internation Band.
Supporters' Club network reaches a new milestone
-
We've welcomed our first official Jewish Supporters’ Club, taking our
community to 330 branches across 90 countries.
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment