Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili ikishinda 3-1 dhidi ya West Ham United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Bao lingine la City limefungwa na Fernandinho, wakati la West Ham limefungwa na Michail Antonio PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thomas Partey not bothered by Black Stars captaincy decision – GFA
-
Ghana Football Association (GFA) Communications Director, Henry Asante
Twum, has dismissed any concerns over Thomas Partey losing the Black Stars
captaincy...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment