Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili ikishinda 3-1 dhidi ya West Ham United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Bao lingine la City limefungwa na Fernandinho, wakati la West Ham limefungwa na Michail Antonio PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australia's best women's footy stars slam the NRL for sticking them with
huge problem that would NEVER happen to men: 'Nobody realises the stress we
go through'
-
Queensland's Ali Brigginshaw and her NSW rival Tamika Upton will be bitter
enemies when this year's series starts on Thursday - but right now they're
both ...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment