Kiungo Victor Wanyama wa Tottenham akiwapandia juu wachezaji wenzake kushangilia na Danny Rose aliyeifungia timu yao bao la kusawazisha dakika ya 72 katika sare ya 1-1 na Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa White Hart Lane, London. Bao la Liverpool lilifungwa na James Milner kwa penalti bada ya Erik Lamela kuchezewa rafu Roberto Firmino PICHA ZAIDI GONGA HAPA
5th columnists fuelling Plateau killings –Emir of Wase
-
From Jude Owuamanam, Jos Emir of Wase, Alhaji Mohammadu Sambo Haruna, has
accused those he described as insiders fuelling the killings in Plateau
State. ...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment