Kiungo Victor Wanyama wa Tottenham akiwapandia juu wachezaji wenzake kushangilia na Danny Rose aliyeifungia timu yao bao la kusawazisha dakika ya 72 katika sare ya 1-1 na Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa White Hart Lane, London. Bao la Liverpool lilifungwa na James Milner kwa penalti bada ya Erik Lamela kuchezewa rafu Roberto Firmino PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thomas Partey not bothered by Black Stars captaincy decision – GFA
-
Ghana Football Association (GFA) Communications Director, Henry Asante
Twum, has dismissed any concerns over Thomas Partey losing the Black Stars
captaincy...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment