// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
SIMBA SC NA JKT RUVU KATIKA PICHA JANA TAIFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINESIMBA SC NA JKT RUVU KATIKA PICHA JANA TAIFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
Kiungo wa Simba SC, Mwinyi Kazimoto akituliza mpira kifuani mbele ya kiungo wa JKT Ruvu, Hassan Dilunga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 0-0
Mshambuliaji wa Simba, Laudit Mavugo (kulia) akikimbilia mpira dhidi ya beki wa JKT Ruvu, Pera Mavuo
Kipa wa JKT Ruvu, Said Kipao akiwa ameruka juu kudaka mpira mrefu uliotokea pembeni
Beki wa JKT Ruvu, Rahim Juma akimuacha chini mshambuliaji wa Simba SC, Frederic Blagnon
Kiungo wa Simba SC akipasua kwenye msitu wa mabeki wa JKT Ruvu
Salim Aziz Gilla wa JKT Ruvu (kulia) akiuzuia mpira dhidi ya kiungo wa Simba SC, Jamal Mnyate
Beki wa Simba SC, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akimtoka kiungo wa JKT, Ismail Amour
Mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Hajib (kulia) akimtoka beki wa JKT Ruvu, Rahim Juma
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment