SERENGETI BOYS NA AMAJIMBOS KATIKA PICHA JANA CHAMAZI
Beki wa Afrika Kusini, Kwenzokuhle Shinga (kulia) akimchezea rafu mshambuliaji wa Tanzania, Mohamed Rashid Abdallah katika mchezo wa marudiano Raundi ya pili kuwania tiketi ya Fainali za Vijana chini ya umri wa miaka 17 mwakani nchini Madagascar Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Serengeti ilishinda 2-0 na kufuzu kwa ushindi wa jumla wa 3-1 baada ya wiki iliyopita kutoa sare ya 1-1
Mohamed Rashid Abdallah wa Serengeti Boys akiambaa na mpira pembeni ya beki wa Amajimbos
Shaaban Zubeiry wa Serengeti Boys (kushoto) akimtoka beki wa Amajimbos
Yohanna Nkomola wa Serengeti Boys (kulia) akiwatoka mabeki wa Amajimbos
Israel Patrick Mwenda wa Serengeti Boys akimtoka beki wa Amajimbos
Beki wa Amajimbos akiinua mguu kuondosha mpira kwenye himaya ya Israel Mwenda
Kipa wa Amajimbos,Glen Tumelo Baadjes akiruka kuookoa npira dhidi ya mshmbauliaji wa Serengeti Boys, Shaaban Zubeiry
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na MIchezo, Nape Nnauye (kulia) akifurahia na Rais wa TFF, Jamal Malinzi baada ya bao la pili
FG dismisses fear over economy
-
• Insists Nigeria well positioned to withstand global uncertainties Amid
mounting global economic uncertainty, Nigeria remains firmly positioned to
wea...
Simba book final spot in CAF Confederation cup
-
Simba booked their spot in the final of the CAF Confederation Cup following
a goalless draw against Stellenbosch on Sunday afternoon. The host
continued ...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment