Alvaro Morata akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la kuongoza dakika ya 60 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Celta Vigo leo kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid. Bao la pili la Real lilifungwa na Toni Kroos dakika ya 81, baada ya Fabian Orellana kuisawazishia Celta Vigo dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Again, suspected cultists kill rival cult leader in Yenagoa
-
From Femi Folaranmi, Yenagoa There is heightened tension among residents of
Yenagoa, the Bayelsa State capital, following the killing of Olotu Wanemi
Omu...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment