Kipa wa Steaua Bucharest, Valentin Cojocaru akiushuhudia mpira wa kichwa wa Fabian Delph ukifanya safari ya kuelekea nyavuni kuifungia Manchester City bao pekee katika ushindi wa 1-0 kwenye mchezo wa marudiano hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu Uwanja wa Etihad. Man City imesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-0 baada ya kushinda 5-0 katika mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2027: SDP not crime centre for disappointed Tinubu followers – Adebayo
-
By John Ogunsemore The 2023 presidential candidate of Social Democratic
Party (SDP), Prince Adewole Adebayo said the party will not become a tool
to be u...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment