Wachezaji wa Yanga SC wakiwa mazoezini kwenye Uwanja wa Chuo cha Sayansi ya Jamii (sasa chuo cha Mwalimu Nyerere), Kigamboni, Dar es Salaam mwaka 2000 kujiandaa na moja ya mechi zao. Kutoka kushoto Said Mwamba ‘Kizota’ (sasa marehemu), Edibily Lunyamila, Freddy Mbuna, Jaffar Abbas na Mohammed Abdulkadir ‘Tash’ kwa nyuma. Hiyo ilikuwa kambi maarufu ya Yanga wakati wa uongozi wa Tarimba Abbas ‘Thabo Mbekhi’ mwaka 1998 hadi 2001
Tinubu declares state of emergency in Rivers, appoints Vice Admiral Ibas as
sole administrator
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja President Bola Tinubu has declared a
state of emergency in Rivers State, citing a prolonged political crisis
that has ...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment