Winga wa kimataifa wa Wales, Gareth Bale akiruka kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Real Madrid katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Real Sociedad katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Manispaa de Anoeta mjini Donostia-San. Bao lingine la Real lilifungwa na Marco Asensio PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Super Bowl champ Saquon Barkley joins Donald Trump at POTUS's golf club day
before Eagles' White House visit
-
Saquon Barkley enjoyed some time with President Donald Trump on Sunday just
one day before the Eagles' White House visit.
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment