Winga wa kimataifa wa Wales, Gareth Bale akiruka kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Real Madrid katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Real Sociedad katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Manispaa de Anoeta mjini Donostia-San. Bao lingine la Real lilifungwa na Marco Asensio PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kylian Mbappe tears into Rodri winning the 2024 Ballon d'Or as the French
captain speaks for the first time since Real Madrid boycotted the award
after Vinicius Jr lost out
-
The Ballon d'Or is given to the best player over the calendar year, as
voted for by journalists and publications from around the world, with
Lionel Messi w...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment