Kiungo wa Yanga SC, Deus Kaseke akibinjuka staili ya baiskeli kuunganisha krosi ya beki Hassan Kessy katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya African Lyon Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo. Hata hivyo, mpira huo ulipitiliza upande wa pili, haukuingia nyavuni, ingawa Yanga ilishinda 3-0.
Supporters' Club network reaches a new milestone
-
We've welcomed our first official Jewish Supporters’ Club, taking our
community to 330 branches across 90 countries.
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment