// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); YANGA VETERANS WATOA SARE 1-1 NA CHAMAZI KOMBE LA FRESCO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE YANGA VETERANS WATOA SARE 1-1 NA CHAMAZI KOMBE LA FRESCO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Monday, July 25, 2016

        YANGA VETERANS WATOA SARE 1-1 NA CHAMAZI KOMBE LA FRESCO

        Winga wa Yanga Veterans, Eiphraim makoye akiwatoka mabeki wa Chamazi Veterans katika mchezo wa Kombe la Fresco jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Yanga wakitangulia kwa bao la Aziz Hunter dakika ya 35 kabla ya Chamazi kusawazishia kupitia kwa Anusa Kazembe dakika ya 63
         Makoye akipasua katikati ya mabeki wa Chamazi Veterans
        Msaliti; Beki wa zamani wa Yanga, Yahya Issa 'Gutta' alichezea Chamazi Veterans jana
        Mfungaji wa bao la Yanga jana, Aziz Hunter (katikati) akiwa mawindoni
        Beki wa Yanga, Shadrack Nsajigwa 'Fusso' (kulia) akimtoka beki wa Chamazi Veterans jana
        Benchi la Ufundi la Yanga kutoka kulia Kenneth Mkapa, Omar Kaaya na Abdallah Suleiman Kaaya
        Mohammed Hussein 'Mmachinga' (kulia) jana alikosa bao la wazi akiwa amebaki yeye na kipa akaupoeleka mpira jukwaani
        Aziz Hunter akiumiliki mpira mbele ya mchezaji mwenzake wa zamani wa Reli ya Morogoro, Yahya Issa 
        Kiungo wa zamani wa Yanga, Fortunatus Dello Tumba akiwapiga picha wenzake kabla ya mechi
        Hiki ndicho kikosi kizima cha Yanga kwa ajili ya mchezo wa jana
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: YANGA VETERANS WATOA SARE 1-1 NA CHAMAZI KOMBE LA FRESCO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry