Bondia Deontay Wilder (kushoto) akimchapa konde Mmarekani mwenzake, Chris Arreola katika pambano lao la uzito wa juu usiku wa kuamkia leo ukumbi wa Legacy Arena mjini Alabama, Marekani. Wilder alishinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya nane baada ya mpinzani wake kujiuzulu na kutetea taji lake la WBC uzito wa juu. Hata hivyo, Wilder alivunjika mkono katika pambano hilo, hivyo uwezekano wa kurudi ulingoni haraka kwa ajili ya pambano ama na Anthony Joshua au Tyson Fury ni mdogo sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Humphreys: Meet footy's newest heartthrob - as legend Andrew Johns
reveals he has a man crush on the NRL's hottest rising star
-
Jamie Humphreys has been a very pleasant surprise for Souths supporters as
he turns in match-winning performances - and many fans are very impressed
with h...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment