Nyota wa Leicester City, Riyad Mahrez akimtoka beki wa Celtic, Emilio Izaguirre katika mchezo wa Kombe la Kimataifa la Mabingwa leo Uwanja wa Parkhead mjini Glasgow, Scotland. Leicester ilishinda kwa penalti 6-5 baada ya sare ya 1-1 Riyad Mahrez akianza kuifungia Leicester kabla ya Eoghan O'Connell kuiswazishia Celtic. Katika penalti, Ciftci, Johansen, Allan, O'Connell, Christie waliifungia Celtic huku ya Forrest ikiokolewa na upande wa Leicester waliofunga ni Fuchs, Wasilewski, Drinkwater, Chilwell, Okazaki na Amartey PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Humphreys: Meet footy's newest heartthrob - as legend Andrew Johns
reveals he has a man crush on the NRL's hottest rising star
-
Jamie Humphreys has been a very pleasant surprise for Souths supporters as
he turns in match-winning performances - and many fans are very impressed
with h...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment