// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); AZAM VETERANS YAUA 6-0 KOMBE LA FRESCO CHAMAZI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE AZAM VETERANS YAUA 6-0 KOMBE LA FRESCO CHAMAZI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Sunday, July 24, 2016

        AZAM VETERANS YAUA 6-0 KOMBE LA FRESCO CHAMAZI

        Mshambuliaji wa Azam Veterans, Abdulkarim Amin 'Popat' akifumua shuti pembeni ya beki wa Mbagala Veterans katika mchezo wa Kombe la Fresco leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Azam ilishinda 6-0 mabao yake yakifungwa na Popat mawili, Mussa Lumbi mawili na mengine Salim Aziz na Huzu Kajembe
        Nassor Idrisa 'Father' wa Azam (kushoto) akitafuta maarifa ya kumtoka  beki wa Mbagala
        Winga wa Azam Veterans akimfunga tela beki wa Mbagala 
        Avdulkarim Amin 'Popat akishangilia baada ya kufunga kwa mara ya pili leo'
        Kikosi cha Azam Veterans leo
        Kikois cha Mbagala Veterans leo
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: AZAM VETERANS YAUA 6-0 KOMBE LA FRESCO CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry