Beki Jerome Boateng akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Ujerumani bao la kwanza katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Slovakia kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora ya Euro 2016 usiku leo Uwanja wa Stade Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq, Ufaransa. Mabao mengine ya Ujerumani yamefungwa na Mario Gomez na Julian Draxler wakati Mesut ozil alikosa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Heartbreaking final post by NASCAR's Greg Biffle reveals last date night
with wife who also died in plane crash
-
Biffle's Cessna C550 private jet was seen burning on a runway at
Statesville Regional Airport around 10:15am on Thursday, nine months after
obtaining his p...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment