Wachezaji wa Tukuyu Stars ya Mbeya kutoka kushoto, Mohamed Kassanda, Raphael Mapunda na Kanza Mrisho wakiwa Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya mwaka 1987 kabla ya moja ya mechi zao za Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara. Tukuyu ilikuwa bingwa mwaka 1986 na baada ya msimu nyota wake wakachukuliwa na Yanga na Simba nayo ikashuka daraja mwaka 1987
300-1! Exeter stunned as wonder horse Blowers breaks 36-year record to
become longest-priced winner in British racing history
-
It has been the year for shocks on racecourses but the biggest of all
arrived at Exeter yesterday when Blowers became the longest priced winner
in British ...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment