// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); TUKUYU STARS LILIKUWA BONGE LA TIMU ENZI ZAKE LIGI KUU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE TUKUYU STARS LILIKUWA BONGE LA TIMU ENZI ZAKE LIGI KUU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Wednesday, June 29, 2016

        TUKUYU STARS LILIKUWA BONGE LA TIMU ENZI ZAKE LIGI KUU

        Wachezaji wa Tukuyu Stars ya Mbeya kutoka kushoto, Mohamed Kassanda, Raphael Mapunda na Kanza Mrisho wakiwa Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya mwaka 1987 kabla ya moja ya mechi zao za Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara. Tukuyu ilikuwa bingwa mwaka 1986 na baada ya msimu nyota wake wakachukuliwa na Yanga na Simba nayo ikashuka daraja mwaka 1987
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: TUKUYU STARS LILIKUWA BONGE LA TIMU ENZI ZAKE LIGI KUU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry