Wachezaji wa Chile wakishangilia ushindi wao wa 2-0 dhidi ya Colombia katika Nusu Fainali ya michuano ya Copa America Alfajiri ya leo Uwanja wa Soldier Field mjini Chicago, Illinois, Marekani kwa mabao ya Charles Aranguiz na Jose Pedro Fuenzalida. Chile ambao ndiyo mabingwa watetezi, sasa watamenyana na Argentina katika fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Preston 0-3 Aston Villa: Marcus Rashford at the double as first goals for
new club seal FA Cup semi-final spot at Wembley - with Jacob Ramsey also on
target
-
TOM COLLOMOSSE AT DEEPDALE: Just when they thought their season had hit
rock bottom, now United must watch their exiled hero try to lead Villa into
the FA ...
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment