Nyota wa Argentina, Lionel Messi akiifungia timu yake kwa shuti la mpira wa adhabu kutoka umbali wa mita 25 kuipatia bao la pili katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa Nusu Fainali Copa America dhidi ya wenyeji, Marekani asubuhi hii Uwanja wa NRG mjini Houston, Texas hilo likiwa bao lake la 55 kwa timu ya taifa na kuweka rekodi ya mchezaji aliyeifungia mabao mengi zaidi nchi yake. Mabao mengine ya Argentina yamefungwa na Ezequiel Lavezzi na Gonzalo Higuain mawili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Crystal Palace 2-2 KuPS: How did the Eagles' youngsters fare, which star
took his chance AGAIN - and was Oliver Glasner right to prioritise the
Premier League?
-
WILL PICKWORTH AT SELHURST PARK: The draw meant the Eagles finished 10th in
the Conference League table, and they will now be forced into two extra
fixture...
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment