Michal Duris akishangilia baada ya kuifungia Slovakia bao la pili kwa kichwa akimalizia krosi ya Vladimir Weiss katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Ujerumani Jumapili Uwanja wa WWK Arena mjini Augsburg. Mabao mengine ya Slovakia yamefungwa na Marek Hamsik na Juraj Kucka, wakati la wenyeji limefungwa na Mario Gomez kwa penalti katika mchezo huo wa kirafiki wa kimataifa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Crystal Palace 2-2 KuPS: How did the Eagles' youngsters fare, which star
took his chance AGAIN - and was Oliver Glasner right to prioritise the
Premier League?
-
WILL PICKWORTH AT SELHURST PARK: The draw meant the Eagles finished 10th in
the Conference League table, and they will now be forced into two extra
fixture...
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment