Kikosi cha Tanzania Stars ambacho kilikuwa hakishiriki ligi yoyote nchini, kabla ya mchezo wa Kombe la Washindi Afrika (sasa limeunganishwa na Kombe la CAF na kuwa Kombe la Shirikisho) dhidi ya Simba FC ya Uganda Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mwaka 1999. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1 na Tanzania Stars kutolewa kwa jumla ya mabao 3-2 baada ya awali kufungwa 2-1 mjini Kampala, Uganda. Kutoka kulia waliosimama ni Abdallah Msamba (marehemu), Alex Kajumulo, Twaha Hamidu na Sanifu Lazaro. Katikati kutoka kulia ni Zubery Katwila, Yussuf Macho, Mohammed Abubakar ‘Phantom’ na Issa Manofu na mbele kutoka kulia ni Thabit Bushako, George Masatu, Muhehe Kihwelo (marehemu), William Fahnbulllar na Malota Soma ‘Ball Jaggler’.
2024/25 Ghana Premier League: Week 29 Match Preview- Accra Lions vs Bechem
United
-
Accra Lions will be hoping to bounce back after their defeat away to Heart
of Lions when they host Bechem United at the Accra Sports Stadium on
Saturday, A...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment