Mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez akishangilia baada ya kufunga bao dakika ya 81 ambalo linakuwa la 54 msimu huu katika mchezo wa La Liga dhidi ya Real Betis Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Barca imeshinda 2-0, bao lingine akifunga Ivan Rakitic ambalo lilikuwa la kwanza dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ryan Reynolds all smiles as Hollywood A-lister watches Wrexham secure
ANOTHER win
-
Ryan Reynolds jetted in from the United States for his first game since the
turn of the year and watched as Phil Parkinson's side took one step closer
to p...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment