Kipa wa Cameroon, Fabrice Ondoa akiruka bila mafanikio kuokoa mchomo wa Dimitri Payet wa Ufaransa katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Nantes, Ufaransa. Ufaransa ilishinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Matuidi dakika ya 20, Giroud dakika ya 41 na Payet dakika ya 90, wakati ya Cameroon yalifungwa na Aboubakar dakika ya 22 na Choupo-Moting dakika ya 87 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal boss Mikel Arteta promises 'big' summer of spending after Andrea
Berta's arrival as sporting director... and insists Gunners are 'excited'
to take the next step
-
Mikel Arteta has declared that Arsenal are ready for a 'big' summer of
spending that will take them to the 'next step' of a first Premier League
crown sinc...
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment