Kocha Pep Guardiola akijifuta machozi baada ya timu yake kushinda Kombe la Ujerumani kwa ushindi wa penalti 4-3 baada ya sare ya 0-0 dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana Uwanja wa Olimpiki mjini Berlin, Ujerumani. Guardiola anaondoka Bayern Munich anahamia Manchester City ya England baada ya kumaliza msimu jana na mchezo huo ulikuwa wa mwisho kwake kuiongoza timu hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stay focus and qualify for 2026 World Cup - Maxwell Konadu charges Black
Stars
-
Experienced Ghanaian gaffer, Maxwell Konadu, has cautioned the Black Stars
to stay focused and grounded and qualify for the 2026 World Cup. The
four-time ...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment