Wachezaji wa Barcelona na familia zao wakifurahia na faimlia zao taji la Kombe la Mfalme, maarufu kama Copa del Rey baada ya kuifunga Sevilla 2-0 katika mhezo wa fainali uliodumu kwa dakika 120 kufuatia dakika 90 kumalizika timu hizo zikiwa hazijafungana usiku wa kuamkia leo kwenye Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid, Hispania. Mabao ya Barca Jordi Alba dakika ya 97 na Neymar dakika ya 120 na ushei. Katika mchezo uliokuwa mkali na wa kusisimua, Javier Mascherano wa Barcelona alitolewa kadi nyekundu dakika ya 36 kwa kumchezea rafu Kevin Gameiro akiwa anakwenda kufunga na Ever Banega wa Sevilla pia alitolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 90 na ushei kwa kumchezea rafu Neymar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment