Connor Wickham wa Crystal Palace akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 79 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Watford leo Uwanja wa Selhurts Park katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la FA England. Bao lingine la Palace limefungwa na Yannick Bolasie dakika ya sita wakati la Watford limefungwa na Troy Deeney dakika ya 55. Palace sasa watamenyana na Manchester United katika fainali Mei 21. United iliitoa Everton jana kwa mabao 2-1 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FA Cup: We must be extra focused against True Democracy to avoid an upset -
Kotoko coach Prosper Ogum
-
The head coach of Asante Kotoko, Prosper Narteh Ogum has charged his
players to go into the MTN FA Cup tie against True Democracy on Sunday with
all seriou...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment