Connor Wickham wa Crystal Palace akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 79 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Watford leo Uwanja wa Selhurts Park katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la FA England. Bao lingine la Palace limefungwa na Yannick Bolasie dakika ya sita wakati la Watford limefungwa na Troy Deeney dakika ya 55. Palace sasa watamenyana na Manchester United katika fainali Mei 21. United iliitoa Everton jana kwa mabao 2-1 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Result is not what we wanted' - games pile up for Palace
-
The games are piling up for Crystal Palace who face a two-legged play-off
in the Conference League after failing to qualify automatically for the
last 16.
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment