Winga wa Real Madrid, Gareth Bale akienda baada ya kuchezewa rafu na kiungo wa Manchester City, David Silva katika Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Etihad, Manchester, England usiku huu, timu hizo zikitoka sare ya 0-0 na sasa zitarudiana wiki ijayo Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid, Hispani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mayer retains title with points win over Briton Ryan
-
World champion Mikaela Mayer outpoints Briton Sandy Ryan for the second
time to defend her WBO welterweight title in Las Vegas.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment