Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo (kushoto) akiwa na Mreno mwenzake wa timu hiyo, Pepe wakati wakisafiri kwenda Manchester, England kwa ajili ya mchezo wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kesho Uwanja wa Etihad. Kulikuwa kuna wasiwasi wa Ronaldo kuukosa mchezo huo kutokana na kukosekana katika mchezo wa La Liga Jumamosi, Real Madrid ikishinda 3-2 ugenini dhidi ya Rayo Vallecano kwa sababu alikuwa majeruhi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
300-1! Exeter stunned as wonder horse Blowers breaks 36-year record to
become longest-priced winner in British racing history
-
It has been the year for shocks on racecourses but the biggest of all
arrived at Exeter yesterday when Blowers became the longest priced winner
in British ...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment