Gareth Bale akitimua mbio kushangilia baada ya kuifungia Real Madrid katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Rayo Vallecano kwenye mchezo wa La Liga jioni ya leo Uwanja wa Rayo Vallecano. Bale alifunga mabao mawili, wakati lingine limefungwa na Vazquez 52 huku ya wenyeji yakifungwa na Embarba na Fedor Flores PICHA ZAIDI GONGA HAPA
We have to remember England are world's best - Lynn
-
While Wales were encouraged by their showing in Scotland, their 11-try
mauling by England was a timely reminder of just how much they need to
improve.
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment