// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); AZAM NA PRISONS KATIKA PICHA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE AZAM NA PRISONS KATIKA PICHA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Friday, April 01, 2016

        AZAM NA PRISONS KATIKA PICHA

        Kiungo wa Azam FC, Farid Mussa (kulia) akiudhibiti mpira katikati ya wachezaji wa Prisons katika mchezo wa Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Azam ilishinda 3-1
        Kiungo Salum Abubakar 'Sure Boy' akimtoka mchezaji wa Prisons jana Chamazi
        Kiungo wa Azam FC, Ramadhani Singano 'Messi' akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Prisons
        Mshambuliaji wa Azam FC, Khamis Mcha 'Vialli' akiuvutia kasi mpira ili watoka wachezaji wa Prisons
        Beki wa Azam FC, Waziri Salum akiugulia maumivu baada ya kuchezewa rafu na mchezaji wa Prisons
        Kocha Muingereza Stewart Hall akimpongeza beki wake, Shomarybkapombe baada ya kufunga mabao mawili jana katika ushindi huo

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: AZAM NA PRISONS KATIKA PICHA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry