// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); AZAM FC ILIVYOTINGA FAINALI KOMBE LA ASFC JANA MWADUI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE AZAM FC ILIVYOTINGA FAINALI KOMBE LA ASFC JANA MWADUI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Monday, April 25, 2016

        AZAM FC ILIVYOTINGA FAINALI KOMBE LA ASFC JANA MWADUI

        Mshambuliaji Mkenya wa Azam FC, Allan Wanga akipasua katikati ya wachezaji wa Mwadui FC jana katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Kombe Azam Sports Federation Cup (ASFC) Uwanja wa Mwadui Complex, Shinyanga. Azam FC ilishinda kwa penalti 5-3 baada ya sare ya 2-2 ndani ya dakika 120 

        Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco akiwatoka wachezaji wa Mwadui FC
        Kkungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' akipambana na kiungo wa Mwadui
        Kiungo wa Azam FC, Frank Domayo (kushoto) akimtoka beki wa Mwadui, David Luhende
        Kiungo wa Azam FC, Ramadhani Singano 'Messi' akimiliki mpira katika ya wachezaji wa Mwadui
        Kiungo wa Azam FC, Himid Mao (kulia) akimlamba chenga kiungo wa Mwadui
        Kiungo wa Azam FC, Khamis Mcha 'Vialli' akiwatoka wachezaji wa Mwadui FC

        Kikosi cba Azam FC jana Uwanja wa Mwadui Complex, Shinyanga 

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: AZAM FC ILIVYOTINGA FAINALI KOMBE LA ASFC JANA MWADUI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry