// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
AZAM FC ILIVYOTINGA FAINALI KOMBE LA ASFC JANA MWADUI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEAZAM FC ILIVYOTINGA FAINALI KOMBE LA ASFC JANA MWADUI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
AZAM FC ILIVYOTINGA FAINALI KOMBE LA ASFC JANA MWADUI
Mshambuliaji Mkenya wa Azam FC, Allan Wanga akipasua katikati ya wachezaji wa Mwadui FC jana katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Kombe Azam Sports Federation Cup (ASFC) Uwanja wa Mwadui Complex, Shinyanga. Azam FC ilishinda kwa penalti 5-3 baada ya sare ya 2-2 ndani ya dakika 120
Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco akiwatoka wachezaji wa Mwadui FC
Kkungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' akipambana na kiungo wa Mwadui
Kiungo wa Azam FC, Frank Domayo (kushoto) akimtoka beki wa Mwadui, David Luhende
Kiungo wa Azam FC, Ramadhani Singano 'Messi' akimiliki mpira katika ya wachezaji wa Mwadui
Kiungo wa Azam FC, Himid Mao (kulia) akimlamba chenga kiungo wa Mwadui
Kiungo wa Azam FC, Khamis Mcha 'Vialli' akiwatoka wachezaji wa Mwadui FC
Kikosi cba Azam FC jana Uwanja wa Mwadui Complex, Shinyanga
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment