Kiungo wa Ufaransa, Paul Pogba (katikati) akiruka juu kupiga mpira katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya wenyeji Uholanzi mjini Amsterdam usiku wa jana. Ufaransa ilishinda 3-2 mabao yake yakifungwa na Antoine Griezmann, Olivier Giroud na Blaise Matuidi wakati ya Uholanzi yalifungwa na Luuk de Jong na Ibrahim Afellay PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Djokovic reaches Miami final to close on 100th title
-
Novak Djokovic eases past Grigor Dimitrov to reach his first Miami Open
final since 2016 and move within one win of his 100th career ATP title
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment