// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); STARS NA CHAD KATIKA PICHA JANA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE STARS NA CHAD KATIKA PICHA JANA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Thursday, March 24, 2016

        STARS NA CHAD KATIKA PICHA JANA

        Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Samatta (kulia) akipambana na beki wa Chad katika mchezo wa Kundi G, kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika 2017 jana Uwanja wa Omnisports Idriss Mahamat Ouya mjini D'jamena. Taifa Stars ilishinda 1-0

        Mshambuliaji wa Taifa Stars, Mbwana Samatta akimvisha kanzu ya kisigino watoto wa bongo wanasema 'kizungu' beki wa Chad jana

        Mshambuliaji wa Taifa Stars, Thomas Ulimwengu akigombea mpira na beki wa Chad jana

        Winga wa Taifa Stars, Farid Mussa akimtoka beki wa Chad jana

        Kiungo wa Taifa Stars, Mwinyi Kazimoto akitafuta maarifa ya kuwapita wachezaji wa Chad jana

        Beki wa kulia wa Taifa Stars, Shomary Kapombe (kushoto) akitafuta maarifa ya kumpira beki wa Chad jana

        Mshambuliaji wa Tanzania, Thomas Ulimwengu akimruka kipa wa Chad baada ya kudaka mpira

        Kiungo wa Taifa Stars, Jonas Mkude akimtoka mchezaji wa Chad huku akifikiria pia namna ya kumpita mchezaji mwingine wa timu hiyo jana

        Kiungo wa Taifa Stars, Himid Mao (kulia) akiwania mpira dhidi ya mshambuliaji wa Chad jana 

        Kikosi cha Taifa Stars kilichlifunga 1-0 Chad jana mjini D'jamena

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: STARS NA CHAD KATIKA PICHA JANA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry